MATUMAINI GROUP imejikita katika kazi hizi hapa chini zifuatazo katika jamii ya watu wa tanzania,
KAZI ZA MATUMAINI GROUP:
- Tunatoa huduma ya wagonjwa majumbani HBC,Ushauri nasaha na huduma shufaa.
- Tunahudumia watoto yatima
- Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana na kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya.
- Tunapambana na uharibifu wa mazingira.
- Tunatoa Elimu ya kupambana na maambukizi zidi ya VVU/UKIMWI
- Tunahamasisha upimaji wa VVU kwa hiari
- Tunapambana na vitendo vya unyanyasaji na ukatili wa kijinsia kwa watoto na wanawake vinavyosababishwa na wanaume wasio na maadili.
- Tunatoa elimu ya maswala ya kijinsia
- Tunatoa warsha za kivuko (stepping stone)kwa vijana na jamii kiujumla.
0 maoni:
Chapisha Maoni